Martin Kadinda ambae wamefahamiana na kuwa marafiki na Jackie kwa zaidi ya miaka 10 ameongea Exclusive na AyoTV na kueleza machache ya moyoni kuhusu Jackie ambae mpaka sasa hajui yuko kwenye hali gani.
Kingine kikubwa alichokizungumzia Martin ni kuhusu status ya BBM ya wosia aliyoiandika Jackie iwapo atakufa, status ambayo blogs na baadhi ya vyombo vya
habari Tanzania vimeitumia kwa kusema Jackie aliiandika baada ya kukamatwa na dawa za kulevya.
habari Tanzania vimeitumia kwa kusema Jackie aliiandika baada ya kukamatwa na dawa za kulevya.
Kuisoma habari kamili bofya hapo juu........
No comments:
Post a Comment