![]() |
| waraka wa siri wa Chadema |
Waraka
huu nimeuchomoa kwenye file la kazi za kila siku za ndugu HEMEDI SABULA
ambaye ni Afisa wa kurugenzi ya ulinzi na usalama wa CHADEMA MAKAO
MAKUU.
Ujumbe uliokuwepo ndani ya huu waraka ni wa kusikitisha sana kiasi kwamba nimeshindwa kuvumilia kuacha kuona watanzania wakiendelea kupotoshwa namna hii.
Tafadhali wanahabari sambazeni ujumbe huu ili watanzania wengi zaidi waweze kuendelea kutambua kinachoendelea ndani ya chama chetu.
Ninaomba niendelee kuficha jina langu kwa sasa
Niiteni mwanamapinduzi mzalendo.
Makao makuu chadema.
Ujumbe uliokuwepo ndani ya huu waraka ni wa kusikitisha sana kiasi kwamba nimeshindwa kuvumilia kuacha kuona watanzania wakiendelea kupotoshwa namna hii.
Tafadhali wanahabari sambazeni ujumbe huu ili watanzania wengi zaidi waweze kuendelea kutambua kinachoendelea ndani ya chama chetu.
Ninaomba niendelee kuficha jina langu kwa sasa
Niiteni mwanamapinduzi mzalendo.
Makao makuu chadema.

No comments:
Post a Comment